JAVIO MADISH PANEL

Wednesday, November 19, 2014

NI KWA UWEZO WA MUNGU TU.......


Tafadhali usiache kusoma hii: LOOK WHERE WE'VE JUST STARTED, unajua mtu alipo lazima kuna mengi kapitia, wapo waliompa moyo na waliomkatisha tamaa, zipo raha na taabu nyingi tu ndani yake. Pasipo juhudi binafsi labda tusingefika hapa, japo wapo watu waajabu sana ndani yake wanaojikuta Miungu watu na kua bila wao eti tusingefika hapa.... hahaha mi nadhani ni ufukara wa kiakili tu kwani mtu anajisahau MUNGU peke yake ndio anapanga hatma ya mtu na kwamba hata wewe umepangiwa tu ipo siku mwenye navyo (Mungu) akihitaji atavichukua ikibidi hata roho yako. Tusijisahau kwa kidogo tulicho nacho, jua kua mali ulionayo ni ubatili mtupu, linda roho yako na si mali. Hujiulizi kuna mtajiri wangapi walikuwepo na sasa hawapo. Kwa kweli ni Mungu peke ndie kawezesha yote hay na si mtu kama mimi au wewe.... Mnakera sana mnaojikuta nyinyi Miungu watu na msemo wenu wa "Bila mimi usingefika ulipo" kubali kataa kama wewe unamawazo ya kijinga hivyo weweni fukara tayari. ONE LOVE

No comments:

Post a Comment