JAVIO MADISH PANEL

Tuesday, November 11, 2014

MABADILIKO.....STARTIMES YA DISH SOKONI

Naomba niwatoe wasi enyi nyote wapenzi wa Startimes na vipindi vyake sasa wameleta startimes ya dish wametambua hili na kuthamini hili swala la scratch kwenye kin'gamuzi cha antenna .Sasa star sat dish inapatikana kwa Tshs 149, 000/= tu! Ikiwa ni vifaa pamoja na gharama ya ufundi.
Kutokana na kwenda kufa kwa mfumo wa antenna pamoja na malalamiko kuhusu Startimes ya antenna  sasa wameongeza channel pamoja na king'amuzi cha HD picha ya mn'gao na wamemaliza suala la scratch.
Zaidi ya hapo kitu special ni channel za local (za TANZANIA) zinapatikana zote na hata malipo ya mwezi yakikata utabaki na hizi local kwa muda wote wa uhai wako. kazi ni kwako usikose kujipatia. Piga namba zetu 0714 422729, 0684 603135 tukuletee mpaka kwako

No comments:

Post a Comment